Klabu ya Liverpool imeamua kuilipa mshahara familia ya Diogo Jota

Klabu ya Liverpool imeamua kuilipa mshahara familia ya Diogo Jota

#1

Klabu ya Liverpool imeamua kuupa heshima mkataba wa Diogo Jota kwani itaendelea kuilipa mshahara familia yake katika kipindi kilichobaki cha mkataba huo.



Lakini pia klabu hiyo itaanzisha hazina maalumu kwaajili ya kusaidia watoto wa marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari siku ya juzi huko Hispania.

Related Discussions

REPLY HAPA


image quote pre code