#PICHA:Wakunga kisiwani Zanzibar wakifurahia wakati wa maadhimisho ya siku ya wakunga duniani yaliyofanyika mjini Unguja. Kwa mujibu wa miongozo ya afya, mkunga mmoja anatakiwa kuhudumia mjamzito mmoja, huku muuguzi mmoja akihudumia wajawazito wanne. Unguja .…
MAKALA ZA HIVI PUNDESerikali kupitia Wizara ya Afya imesema tayari bunge limepitisha Sheria ya Udhibiti wa Tumbaku ijulikanayo kama “The Tobacco Products (Regulation) Act, 2003” ambayo imetoa katazo la uvutaji wa Sigara hadharani. Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amebain…
MAKALA ZA HIVI PUNDESerikali kuanzisha taasisi upasuaji ubongo Wizara ya Afya imedhamiria kuanzisha taasisi mahususi itakayoshughulikia masuala ya upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu ili kuboresha huduma hizo za ubingwa na kutoa katika Taasisi ya Mifupa Ubongo (MOI) ambapo i…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMsimamo wa wizara ya afya kuhusu maboresho ya kitita NHIF 2023 Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu amevielekeza Vituo Binafsi vilivyoingia mkataba na NHIF Kuzingatia masharti ya Mikataba yao. Waziri ya Wizara ya Afya Mhe. Ummy Mwalimu amevielekeza vituo vyote v…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMaiti mochwari kuzuiliwa, Wizara ya Afya yatoa ufafanuzi. Wizara ya Afya inaendelea kuzikumbusha Hospitali zote za Umma kusimamia na kutekeleza Waraka huu Namba 1 wa Mwaka 2021 wa KUTOZUIA MAITI NA KUWEKA UTARATIBU WA KULIPIA GHARAMA ZA MATIBABU NA MADENI. …
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin