Afyaclass Bongo Social KANSA YA UBONGO,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE

   KANSA YA UBONGO

.........

KANSA YA UBONGO,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE


Katika mwili wa Binadamu kuna aina nyingi za Kansa Ikiwemo hii ya ubongo ambayo tunaizungumzia hivi Leo. Kansa hizo ni pamoja na;


  1. Kansa ya Damu
  2. Kansa ya Ngozi
  3. Kansa ya Mapafu
  4. Kansa ya Koo
  5. Kansa ya utumbo
  6. Kansa ya shingo ya Kizazi
  7. Kansa ya matiti
  8. Kansa ya kizazi
  9. Kansa ya Ini
  10. Kansa ya Ubongo
  11. Kansa ya Tumbo
  12. Kansa ya kibofu cha Mkojo
  13. Kansa ya Mifupa
  14. N.K

Hivi leo tutazungumzia kuhusu aina hii ya kansa ya ubongo,Je dalili zake ni zipi? na matibabu yake ni yapi?


Kama lilivyo neno lenyewe,Kansa hii hutokea kwenye ubongo, na endapo itatokea Mgonjwa atapata Dalili zifuatazo;

  1. Mgonjwa Kupoteza Fahamu
  2. Kuwa na tatizo la kupoteza Kumbukumbu
  3. kupata maumivu makali sana ya Kichwa
  4. Kupatwa na shida ya mwili kufa Ganzi
  5. Mwili kuchoka kupita kawaida
  6. Kupatwa na Kifafa ambacho hukuwa nacho
  7. Kupatwa na hali ya kuona maruerue au kutokuona vizuri
  8. N.K


MATIBABU

Kama zilivyo kansa zingine,urahisi wa matibabu ni pale ambapo ugonjwa huu umegundulika mapema kabla ya kufikia stage mbaya,Kwani ikifikia stage mbaya hata kutibu pia ni vigumu. Hivo pale ukijihisi tofauti pamoja na kuona dalili nilizozitaja hapo juu wahi hospital kwa ajili ya uchunguzi zaidi.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584











You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD