FANGASI
• • • • • •
JINSI YA KUJIZUIA NA FANGASI WA MIGUUNI MAARUFU KAMA TINEA PEDIS INTERTRIGEOSA
Hii ni fangasi ya miguuni hasa hasa kwenye vidole na katikati ya vidole (tinea pedis intertrigeosa)
Inatibika vizuri sana
Kujizuia na hili fanya haya
1) Usivae viatu bila soksi
2) Usivae soksi mbichi
3) Pima na fuatilia mwenendo wa sukari yako
4) Punguza uzito wako
5) Pima afya yako mara kwa mara
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
...See more





Post a Comment
Karibu Afyaclass Bongo Social,Share mawazo yako hapa au chochote kuhusiana na Makala husika,Karibu Sana Mdau Wetu Muhimu.