Afyaclass Bongo Social JINSI YA KUJIZUIA NA FANGASI WA MIGUUNI MAARUFU KAMA TINEA PEDIS INTERTRIGEOSA

FANGASI

• • • • • •

JINSI YA KUJIZUIA NA FANGASI WA MIGUUNI MAARUFU KAMA TINEA PEDIS INTERTRIGEOSA


Hii ni fangasi ya miguuni hasa hasa kwenye vidole na katikati ya vidole (tinea pedis intertrigeosa)


Inatibika vizuri sana


Kujizuia na hili fanya haya


1) Usivae viatu bila soksi


2) Usivae soksi mbichi


3) Pima na fuatilia mwenendo wa sukari yako


4) Punguza uzito wako


5) Pima afya yako mara kwa mara


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD