TATIZO LA MVURUGIKO WA TUMBO(chanzo,dalili na tiba)

TATIZO LA MVURUGIKO WA TUMBO(chanzo,dalili na tiba)

#1

 TUMBO

• • • • •

TATIZO LA MVURUGIKO WA TUMBO(chanzo,dalili na tiba)


✓ Tatizo la mvurugiko wa tumbo ni tatizo ambalo huhusisha dalili mbali mbali kama vile;


- Tumbo kunguruma sana


- Mtu kupata maumivu ya tumbo


- Mtu kuharisha mara kwa mara


- Mtu kutoa harufu mbaya(kujamba) mara kwa mara


- Na wakati mwingine mtu kupata kichefuchefu pamoja na kutapika


CHANZO CHA TATIZO LA MVURUGIKO WA TUMBO


- Zipo sababu mbalimbali za mtu kupatwa na shida ya mvurugiko wa tumbo, na baadhi ya sababu hizo ni kama vile;


• Kula vyakula ambavyo vinauchafu ndani yake


• Kunywa maji ambayo sio masafi,mfano maji yalichonganyika na vinyesi au uchafu mwingine


• Kula kitu chenye kemikali flani au sumu


• Kula vyakula ambazo vinasababisha gesi kwa kiwango kikubwa


• Kula mchanganyiko wa vyakula vingi, kwa kiasi kikubwa na kwa wakati mmoja


• Mashambulizi ya vimelea mbali mbali vya magonjwa kama vile; Bacteria, Minyoo,amiba n.k


MATIBABU YA TATIZO HILI LA MVURUGIKO WA TUMBO


- Tatizo hili huweza kutibiwa kulingana na chanzo cha tatizo, Japo huweza kuhusisha matumizi ya dawa mbali mbali kama vile; Metronidazole au Flagyl n.k


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code