Afyaclass Bongo Social USHAURI KWA WAJAWAZITO JUU YA KUFANYA MAZOEZI

    UZAZI

• • • • •

USHAURI KWA WAJAWAZITO JUU YA KUFANYA MAZOEZI


Wanawake wajawazito wanaofanya mazoezi kidogo ili kuimaridsha afya zao,ikitokea wakati wa mazoezi haya umeanza kujihisi maumivu makali ya kichwa,kizunguzungu,maumivu ya mgongo,kiuno na kifua,


kuongezeka kwa mapigo ya moyo na kukaza kwa misuli unapaswa kuacha mara moja mazoezi kwa wakati huo. Pumzika na endelea kesho yake

-

Kwako wewe mazoezi ni muhimu sana,lakini mwili wako unahitaji utayari na lazima mazoezi haya yafanyike kwa kiasi bila kuathiri ujauzito husika. Ni kidogo tu kwa afya!


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD