Head

✍️Author: Dr. Ombeni
🛡️Review: AfyaClass

Njia za kukusaidia Kuzuia Shinikizo la Juu la Damu

Unaweza Kuzuia Shinikizo la Juu la Damu kwa kuzingatia yafuatayo;

• Punguza Matumizi ya chumvi nyingi kwenye chakula

• Punguza Sukari, Ongeza matunda na mbogamboga kwenye Mlo

• Jiepushe na Matumizi ya Tumbaku

• Punguza matumizi ya Pombe au kuacha kabsa

• Epuka matumizi ya mafuta kwa wingi au vyakula vyenye mafuta mengi

• Fanya Mazoezi mara kwa mara.. n.k

Photo Credits:Info| ElimuyaAfya

#SOMA pia;

• Jinsi ya kudhibiti Presha yako

Jinsi ya kupima Presha kwa Usahihi

#Reply

#5Replies
🔥 CHAT NASI
Dr. Ombeni Dr. Ombeni
Je, una changamoto yoyote ya Kiafya? Kwa Ushauri & Tiba tuwasiliane. Call (Kawaida) au SMS (WhatsApp): +255 758 286 584