Head

Wangari Maathai,Mwanamke Aliyebadilisha Mazingira Afrika Kupitia Upandaji Miti

Wangari Maathai,Mwanamke Aliyebadilisha Mazingira Afrika Kupitia Upandaji Miti Wangari Maathai alikuwa mmoja wa wanawake walioweka historia kubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla baada ya ku…

Tsunami ni nini? Fahamu vizuri hapa

Tsunami ni nini? Tsunami ni mfululizo wa mawimbi makubwa sana ya bahari yanayosababishwa na kusogea kwa ghafla kwa maji ya bahari , mara nyingi kutokana na matukio makubwa ya kijiolojia kama t…

Tahadhari ya Tsunami Yatolewa nchini Ufilipino

Tahadhari ya Tsunami Yatolewa nchini Ufilipino Mji wa mwambao wa Santos uliopo kusini mwa Ufilipino umeshuhudia uharibifu wa awali pamoja na kukatika kwa huduma ya umeme kufuatia tahadhari ya t…

El Niño inakuja na Inaweza Kuleta Ukame Mkali Kabla ya Mafuriko Makubwa

El Niño inakuja na Inaweza Kuleta Ukame Mkali Kabla ya Mafuriko Makubwa Wakati wengi bado wanakumbuka madhara makubwa yaliyoletwa na mvua za El Niño miaka michache iliyopita, wataalamu wa hali y…

Utunzaji wa Mazingira ni Wajibu wa Kila Mwananchi

Utunzaji wa Mazingira ni Wajibu wa Kila Mwananchi Mazingira ni msingi wa maisha ya viumbe vyote duniani. Binadamu, wanyama na mimea hutegemea mazingira kwa ajili ya hewa safi, maji, chakula na …

Zaidi ya kaya 10,000 katika eneo la Garissa Township zimeathirika na Mafuriko makubwa

Maelfu ya familia katika Kaunti ya Garissa nchini Kenya zimelazimika kuyahama makazi yao kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha pamoja na kuongezeka kwa kina c…

Mvua za Masika zaathiri nyumba Takribani 150 Zanzibar

Mvua za Masika zaathiri nyumba Takribani 150 Zanzibar Mvua za Masika zasababisha nyumba takribani 150 Zanzibar kuathirika na wakazi kuzihama nyumba zao wakihofia maisha yao. Maeneo yaliyoathirik…

Tahadhari ya ujio wa tetemeko yatangazwa Japan baada ya kuondoa onyo la Tsunami

Tahadhari ya ujio wa tetemeko yatangazwa Japan baada ya kuondoa onyo la Tsunami Maafisa nchini Japani wameonya kuhusu tetemeko la ardhi "kubwa" linalotarajiwa katika wiki ijayo baada y…

Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafika zaidi ya 1000

Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 nchini Indonesia. Haya yamesemwa leo na maafisa wa uokoaji nchini humo. Mafuriko makubwa katika eneo la Pidie J…

Maajabu Usiyoyajua kuhusu Mbuga ya Taifa ya Serengeti

Mbuga ya Taifa ya Serengeti ni moja ya vivutio vya kitalii vinavyotambulika kimataifa, si tu kwa wanyama wake wa porini bali pia kwa mandhari yake ya kipekee na rasilimali za asili. Iko kaskazin…

Idadi ya waliofariki katika mafuriko Indonesia yapita 500

Idadi ya waliofariki katika mafuriko yaliyoikumba Indonesia wiki jana sasa imeongezeka hadi zaidi ya 500, huku waokoaji wakiendelea kujitahidi kufika maeneo yaliyoathirika. Mafuriko hayo, ambayo…

Sri Lanka:Kimbunga Ditwah chaacha uharibifu mkubwa na kuua watu 159

Mamlaka nchini Sri Lanka zinapambana na mafuriko yanayoongezeka katika maeneo ya mji mkuu Colombo, baada ya Kimbunga Ditwah kuacha uharibifu mkubwa na kuua watu 159 kote nchini. Zaidi ya watu 20…

Hali ya Joto Kali nchini TMA yatoa Taarifa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa kuhusu kuongezeka kwa viwango vya joto katika maeneo mbalimbali nchini, hususan katika maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka. On…

Tukio:Kufuatia Mvua kubwa,Watu 90 wafariki kwa mafuriko Indonesia

Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya takriban watu 90 nchini Indonesia wiki hii huku mvua kubwa isiyo ya kawaida ikinyesha katika kisiwa cha Sumatra. Kanda za video zin…

Tukio,Kimbunga Kalmaegi chasababisha maafa makubwa Vietnam

Kimbunga Kalmaegi kimesababisha upepo mkali na mvua kubwa huko Vietnam. Watu watano wameuwawa wakati kimbunga hicho kilipopiga eneo hilo, kutokea Ufulipino ambako huko idadi ya waliouwawa wamefi…

Zaidi ya watu 900,000 wamehamishwa nchini Ufilipino kabla ya Kimbunga Fung-wong,

Zaidi ya watu 900,000 wamehamishwa nchini Ufilipino kabla ya Kimbunga Fung-wong, ambacho kinatarajiwa kutua nchini humo jioni ya leo, Jumapili, Novemba 9, 2025. Kimbunga hicho kimepandishwa hadh…

Ufilipino inajiandaa kwa kuwasili kwa kimbunga kingine kinachoweza kusababisha uharibifu mkubwa,

Ufilipino inajiandaa kwa kuwasili kwa kimbunga kingine kinachoweza kusababisha uharibifu mkubwa, chini ya wiki moja baada ya dhoruba tofauti kuua watu wasiopungua 200 na kuacha miundombinu na uh…

Waliokufa kwa kimbunga nchini Ufilipino wafikia 140

Watu wasiopungua 140 wamefariki dunia baada ya mafuriko makubwa yaliyotokana na kimbunga Kalmaegi nchini Ufilipino. Mamlaka nchini humo zimesema watu wengine 127 hawajulikani walipo. Maji yaliyo…

Uwezekano wa mafuriko zaidi waongezeka maeneo ya magharibi mwa Kenya

Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya (KMD) imetangaza kuwa mvua zitaendelea kunyesha nchini kote mwezi huu wa Novemba. Katika mtazamo wake wa hali ya hewa, shirika hilo lilisema kuwa mvua zaidi ya was…

Watu 60 wafariki dunia baada ya tufani kuharibu maeneo nchini Ufilipino

Angalau watu 66 wamefariki dunia, huku mamia ya maelfu wakikimbia makazi yao, baada ya moja ya tufani zenye nguvu zaidi mwaka huu kupita katikati ya Ufilipino, kwa mujibu wa mamlaka. Tufani Kalm…

Load More Posts That is All