Afyaclass Bongo Social FAHAMU HILI KUHUSU PRINCE PHILIP

 PRINCE PHILIP

• • • • 

FAHAMU HILI KUHUSU PRINCE PHILIP


Katika kipindi cha Uhai wake,taarifa kutoka kwa Familia yake zinasema kwamba, 


Prince philip alishawahi kulazwa hospital kwa mwezi mzima kabla ya kuruhisiwa hapo March.


Na taarifa zinasema kwamba Prince philip alifanyiwa Upasuaji wa Moyo au kwa kitaalam tunasema Heart Surgery.


Na Upasuaji huu ulikuwa ni Kutokana na matatizo ya moyo ambayo yakimsumbua


Lakini taarifa za sababu za kifo chake hazikutolewa.


Kujua kuhusu magonjwa mbali mbali ya moyo ikiwa ni pamoja na ugonjwa wa shambulio la moyo(heart attack), Bofya hapa.!


#RIP #Prince philip


Source news





You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD