Afyaclass Bongo Social JINSI YA KUDHIBITI MAUMIVU YA KICHWA CHA MARA KWA MARA

 MAUMIVU YA KICHWA

• • • • 

JINSI YA KUDHIBITI MAUMIVU YA KICHWA CHA MARA KWA MARA


Nidhahiri kwamba kila mtu hukutwa na tatizo la maumivu ya kichwa kutokana na sababu mbali mbali, 


- Wengine huumwa na kichwa sana baada ya kufanya kazi nyingi


- Wengine huumwa na kichwa kutokana na kusoma sana kwa muda mrefu(wanafunzi)


- Wengine huumwa na kichwa sana kutokana na kutolala usiku


 - Wengine huumwa na kichwa sana kutokana na matumizi ya Njia mbali mbali za uzazi wa mpango kama sindano na vipandikizi


- Wengine huumwa na kichwa kutokana na mashambulizi mbali mbali ya magonjwa kama vile; Malaria, N.K


JINSI YA KUDHIBITI MAUMIVU YA KICHWA CHA MARA KWA MARA



Kwanza kabsa lazima ufahamu chanzo cha maumivu hayo ya kichwa ni nini

✓ Kama ni kukosa usingizi pata mda wa kutosha wa kulala

✓ Soma kiasi na fanya mambo mengine kama michezo N.K

✓ Tumia dawa au tibu ugonjwa unaokusumbua kama Malaria N.K

✓ Tumia dawa za maumivu kama Paracetamol

✓ Pima wingi wako wa damu na kama umezidi kula vitu vya kudhibiti kiwango cha damu mwilini

n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD