MAUMIVU YA KICHWA
• • • •
JINSI YA KUDHIBITI MAUMIVU YA KICHWA CHA MARA KWA MARA
Nidhahiri kwamba kila mtu hukutwa na tatizo la maumivu ya kichwa kutokana na sababu mbali mbali,
- Wengine huumwa na kichwa sana baada ya kufanya kazi nyingi
- Wengine huumwa na kichwa kutokana na kusoma sana kwa muda mrefu(wanafunzi)
- Wengine huumwa na kichwa sana kutokana na kutolala usiku
- Wengine huumwa na kichwa sana kutokana na matumizi ya Njia mbali mbali za uzazi wa mpango kama sindano na vipandikizi
- Wengine huumwa na kichwa kutokana na mashambulizi mbali mbali ya magonjwa kama vile; Malaria, N.K
JINSI YA KUDHIBITI MAUMIVU YA KICHWA CHA MARA KWA MARA



