Afyaclass Bongo Social MADHARA YA KUVAA VIATU VYENYE UNYEVU UNYEVU(fangasi miguuni)

 VIATU

• • • • •

MADHARA YA KUVAA VIATU VYENYE UNYEVU UNYEVU


Haijalishi upo bize kiasi gani au una haraka kiasi gani, kuvaa viatu ambavyo havijakauka vizuri sio salama kwako.


Viatu vinaweza visikauke kwa namna moja au nyingine au viatu huweza kuloa kwa kukanyaga maji na kusababisha hali ya unyevu unyevu kwenye viatu.


Usivae viatu ambavyo vipo kwenye hali hii, kwani unajiweka kwenye hatari ya kupata maambukizi ya Fangasi wa miguuni


Fangasi wa miguuni huweza kukushambulia kama una tabia ya kuvaa viatu ambavyo havijakauka vizuri.


Epuka tabia hii,Kinga miguu yako na fangasi wa miguuni


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.





You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD