KUKOSA USINGIZI
• • • • •
MWANGA WA SIMU AU COMPUTER NA KUKOSA USINGIZI
Je una tatizo la kukosa usingizi alafu unatumia sana simu au computer wakati wa usiku?
watu wengi hawafahamu kwamba mwanga wa simu,laptoop au Computer huweza kuwa sababu tosha ya kusababisha usipate usingizi.
Mwanga wa Simu,laptoop,computer au vifaa vingine jamii ya hivi huwa na athari mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuathiri uwezo wa macho kufanya kazi endapo utatumia kwa muda mrefu sana
MWANGA WA SIMU AU COMPUTER NA KUKOSA USINGIZI
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.










image quote pre code