Afyaclass Bongo Social SWALI; JE KUNA MAHUDHURIO YA KLINIKI KWA MAMA BAADA YA KUJIFUNGUA?

 KLINIKI

• • • • •

SWALI; JE KUNA MAHUDHURIO YA KLINIKI KWA MAMA BAADA YA KUJIFUNGUA?


Wanawake wengi hawajui kwamba, mama baada ya kujifungua kuna kliniki yake kabsa,


Wengi wao wanajua kuna Kliniki ya mtoto tu basi,hivo hata hawazingatii


Kuna mahudhurio ya Kliniki kwa mama baada ya Kujifungua mbali na mahudhurio ya Kliniki kwa mtoto,


Mahudhurio ya Kliniki kwa mama baada ya kujifungua huwa hivi;


- Hudhurio la kwanza ni mama akishamaliza siku 7


- Hudhurio la pili ni siku 28


- Na hudhurio la tatu ni baada ya siku 42.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU NA TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD