Afyaclass Bongo Social MADHARA YA SUKARI KUZIDI KWENYE DAMU KWA MUDA MREFU

    SUKARI

• • • • •

MADHARA YA SUKARI KUZIDI KWENYE DAMU KWA MUDA MREFU


Uwepo wa sukari iliyozidi kiasi cha kawaida mwilini kwa muda mrefu huharibu mshipa wa fahamu wa vagus (vagus nerve),


 ambao huongoza utendaji kazi wa viungo vya ndani ya mwili hasa upumuaji,mmeng’enyo wa chakula pamoja na mapigo ya moyo. Huongoza pia matendo yasiyo ya hiari ya mwili kama vile kutapika,kukohoa pia kupiga chafya

-

Kwa watu walio na sukari nyingi mwilini,uwezo wa neva ya vagus katika kuratibu miondoko ya chakula kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye utumbo hupungua. Unaweza usiwe na hisia za njaa kabisa,


unaweza kuanza kusumbuliwa na kiungulia cha mara kwa mara,maumivu ya tumbo,kutapika pamoja na kusumbuliwa sana na tatizo la choo kigumu. Fika hospitalini upime sukari yako!


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD