Uganda yaripoti kifo cha kwanza kinachotokana na Virusi vya Homa ya nyani,Mpox Takriban miezi mitatu baada ya maambukizi ya hapo awali kuripotiwa nchini. Maelezo kutoka kwa wizara hiyo yanaonyesha kifo hicho kiliripotiwa Masindi kutoka kwa mtu anayeugua na v…
MAKALA ZA HIVI PUNDERasmi DRC imeanza kutoa chanjo ya Mpox Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) leo imeanza chanjo ya mpox, na kuongeza hatua muhimu ya kukamilisha juhudi zinazoendelea za kudhibiti mlipuko,kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa virusi vya homa ya nyani (mpox) na kuokoa…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWHO yaripoti visa 30,000 vinavyoshukiwa kuwa vya MPOX barani Afrika, haswa nchini DRC Takriban watu 30,000 wanaoshukiwa kuwa na virusi vya MPOX wameripotiwa barani Afrika kufikia sasa mwaka huu, wengi wao wakiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC),Sh…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWatoto chini ya miaka mitano waathiriwa Zaidi na Mpox nchini Burundi. Vijana wameathiriwa zaidi na milipuko ya Mpox barani Afrika, huku watoto chini ya miaka mitano wakichangia karibu theluthi moja ya visa hivyo nchini Burundi, shirika la Umoja wa Mataifa la…
MAKALA ZA HIVI PUNDEUgonjwa Wa Homa ya Nyani,chanzo,dalili Na Tiba yake Ugonjwa wa homa ya nyani au Mpox ni ugonjwa ambalo unasababishwa na virusi, Ugonjwa huu unasababishwa na virusi ambao hujulikana kwa jina la Mpox ambapo hapo awali vilijulikana kama MonkeyPox. Mpox Virus wap…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWHO imetangaza kuidhinishwa kwa chanjo ya MVA-BN kama chanjo ya kwanza ya ugonjwa wa mpox Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limetangaza kuidhinishwa kwa chanjo ya MVA-BN kama chanjo ya kwanza dhidi ya ugonjwa wa mpox. Hatua hii inatarajiwa kurahisisha upatik…
MAKALA ZA HIVI PUNDEDRC kupokea shehena ya dozi Laki 1 ya chanjo ya Mpox leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Alhamisi Septemba 5 itapokea shehena ya kwanza ya dozi takribani 100,000 za chanjo ya Ugonjwa wa homa ya Mpox.SeÅ•ikali ya Kongo imepanga kuanza zoezi la utoaji wa c…
MAKALA ZA HIVI PUNDEUNICEF yatangaza zabuni ya dharura ya chanjo za mpox Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhumia watoto UNICEF limetangaza zabuni ya dharura kwa ajili ya Kununua chanjo za ugonjwa wa homa ya nyani au mpox. Chanjo ambazo zinaaminika kuwa na jukumu muhimu katika …
MAKALA ZA HIVI PUNDEUgonjwa Wa Mpox,chanzo,dalili Na Tiba yake Ugonjwa wa homa ya nyani au Mpox ni ugonjwa ambalo unasababishwa na virusi, Ugonjwa huu unasababishwa na virusi ambao hujulikana kwa jina la Mpox ambapo hapo awali vilijulikana kama MonkeyPox. Mpox Virus wapo kwenye …
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin