Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la kuhudumia watoto UNICEF, afya duniani WHO, linalohudumia wakimbizi wa kipalestina UNRWA na wizara ya afya ya Palestina wamezindua kampeni maalum ya chanjo, lishe na ufuatiliaji wa ukuaji wa watoto katika Ukanda wa Gaza, l…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKuku Zaidi ya millioni 40 kupatiwa chanjo bure Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Samia imepanga kutoa chanjo za kuku milioni arobaini (40) ambapo jumla ya dozi 19,099,100 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ng'ombe (CBPP) zimenunuliwa …
MAKALA ZA HIVI PUNDEAsilimia 60 ya vifo Maniema nchini DRC husababishwa na Malaria Jimbo la Maniema nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, hatimaye nalo limechukua hatua ya kukabiliana na Malaria kwa kujumuisha chanjo dhidi ya ugonjwa huo kwenye ratiba ya chanjo kwa watot…
MAKALA ZA HIVI PUNDEChanjo huzuia Vifo million 3.5 ila Zaidi ya watoto milioni 14 hawakuchanjwa 2024 Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watoto milioni 14 hawakupata chanjo kabisa mwaka 2024. Kulingana na makadirio ya Umoja wa Mataifa, chanjo huzuia vifo milioni 3.5 hadi 5 kwa m…
MAKALA ZA HIVI PUNDEUzalishaji wa chanjo ya Mpox barani Afrika wajadiliwa Kampuni ya dawa ya Afrika, Aspen Pharmacare, inafanya mazungumzo na washirika wake kuhusu uzalishaji wa chanjo za Mpox katika viwanda vyake, alisema Mkurugenzi Mtendaji Stephen Saad alipoongea na Reuters …
MAKALA ZA HIVI PUNDEZaidi ya watoto 160,000 wachanjwa, lengo ni watoto 640,000 Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti leo Jumanne Septemba 3 kwamba watoto 161,030 walio na umri wa chini ya miaka kumi wamechanjwa katikati mwa Gaza wakati wa siku mbili za kwanza za kampeni ya ch…
MAKALA ZA HIVI PUNDEkampeni ya utoaji chanjo kwa watoto yaanza huko Gaza WHO Kampeni ya Umoja wa Mataifa ya chanjo ya polio inaendelea katikati mwa Gaza Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina UNRWA Phillipe Lazzarini amesema awamu y…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKovu la Begani baada ya Mtoto kupata chanjo, na nini cha kufanya kama KOVU halijatokea, Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa Kifua Kikuu Maarufu kama BCG ndyo hutoa KOVU kwenye bega la Mtoto, chanjo hii hutolewa kwa njia ya sindano bega la kulia, na huchomwa mara tu …
MAKALA ZA HIVI PUNDEViongozi wa dunia pamoja na wawakilishi wa mashirika ya afya na makampuni ya dawa wamejumuika pamoja siku ya Alhamisi mjini Paris, Ufaransa katika mkutano wa kilele unaojadili masuala ya chanjo. Katika mkutano huo, kumetangaza ufadhili wa dola bilioni 1.2 z…
MAKALA ZA HIVI PUNDEPutin kuja na Chanjo ya Saratani hivi karibuni. RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amesema wanasayansi nchini humo wanakaribia kutengeneza chanjo ya saratani ambayo itaanza kupatikana hivi karibuni. Akizungumza jana jioni katika kituo kimoja cha televisheni nchi…
MAKALA ZA HIVI PUNDEHii ni Orodha ya Baadhi ya Magonjwa yenye Chanjo; kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO), magonjwa haya yana chanjo; 1. Ugonjwa wa Saratani ya Shingo ya Kizazi(Cervical cancer) 2. Ugonjwa wa Kipindupindu(Cholera) 3. Tatizo la Diphtheria 4. Ugonjwa wa Ebol…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin