Afyaclass Bongo Social KUKOROMA USINGIZINI-MAMBO 8 YA KUFANYA KUZUIA KUKOROMA USINGIZINI

MAMBO 8 YA KUFANYA KUZUIA USIKOROME WAKATI UKIWA UMELALA

1. Lalia ubavu na sio chali

2. Usilalie mto kwani huinua kichwa chako na kuongeza kukoroma

3. Unaweza inua nguzo za mbele(unapoweka kichwa) za kitanda ili kupainua kidogo(hii ni bora tofauti na kulalia mto)

4. Punguza uzito

5. Punguza/acha kabisa kunywa pombe na kutumia vidonge vya usingizi kwani husababisha ku-relax kwa soft palate

6. Epuka uvutaji sigara kwani husababisha soft palate kuvimba

7. Mwambie unaelala naye akushtue kidogo kama anakuamsha, hii husaidia wewe kuacha kukoroma

8. Ikishindikana, Mnunulie unaye lala naye 'earplugs' za masikioni avae nyakati za kulala

(NA afyabongo) #afyaclass

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD