Afyaclass Bongo Social ZINGATIA HAYA KUENDELEA KUJIKINGA NA JANGA LA CORONA(COVID-19)

  CORONA

• • • • •

ZINGATIA HAYA KUENDELEA KUJIKINGA NA JANGA LA CORONA(COVID-19)


Endelea kuzingatia mambo yafuatayo ili kuendelea kujikinga na Janga la Corona;


✓ Epuka kukaa sehemu za mikusanyiko isio ya lazima


✓ Hakikisha unanawa mikono na maji safi tiririka pamoja na sabuni


✓ Tumia sanitizer


✓ Hakikisha unavaa masks maarufu kama Barakoa


✓ Nenda hospital ukihisi dalili kama vile;


- Mafua makali  ambayo huambatana na maumivu makali ya kichwa


- Kikohozi kikavu


- Joto la mwili kuwa juu au kuwa na homa


- Kubanwa mbavu sana wakati wa kupumua


- Kushindwa kupumua

N.k


KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD