Kufikia Septemba 2025, Watanzania milioni 56.3 wameunganishwa na huduma ya intaneti huku takriban Watanzania milioni 26.9 wakirekodiwa kutumia simu janja. Dar es Salaam. Mitandao ya kijamii ni miongoni mwa nyenzo za mawasiliano zinazotumiwa zaidi siku za hivi…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKatika ulimwengu wa sasa ambao teknolojia imekuwa sehemu ya maisha ya kila siku, simu za Android zimebeba taarifa nyingi muhimu kuanzia namba za benki, majina ya watu wa karibu, nywila, picha binafsi, hadi mawasiliano ya kikazi. Hata hivyo, pamoja na urahisi …
MAKALA ZA HIVI PUNDEElon Musk, mmiliki wa jukwaa la X (zamani Twitter), ametambulisha rasmi XChat, mfumo mpya wa mawasiliano ulioundwa kuboresha faragha, kasi na uhuru wa mazungumzo ya kidijitali. XChat imejengwa kwa teknolojia ya kisasa, ikiwa na usanifu wa lugha ya Rust, na ku…
MAKALA ZA HIVI PUNDEAustralia imekuwa nchi ya kwanza duniani kupiga marufuku ufikiaji wa mitandao ya kijamii kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 16, hatua iliyopokelewa vyema na wazazi wengi na watetezi wa haki za watoto lakini ikikosolewa na makampuni ya teknolojia na watet…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKatika dunia ambayo tayari takribani mwanamke mmoja kati ya watatu hupitia ukatili wa kimwili au kingono, kuenea kwa teknolojia za Akili Mnemba AI, kumeongeza kwa kiasi kikubwa wigo, kasi na ukali wa ukatili unaofanyika mtandaoni. Zana nyingi za AI zimejengwa…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMwishoni mwa wiki hii, mtandao wa kijamii wa X umezindua kipengele kipya ambacho kinawaruhusu watumiaji kuona nchi au eneo ambalo mtumiaji wa akaunti yupo. Kulingana na mkuu wa masoko wa X, Nikita Bier, akaunti rasmi za serikali hazitaonyesha maeneo zilipo &q…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKamati ya Polisi ya Jimbo la Edo nchini Nigeria imemkamata mbunifu wa maudhui ya TikTok anayeishi Benin, Osarobo Omoyemen — maarufu kama Madam Oil Rice — kwa madai ya kuandaa Video ya kuonyesha ametekwa nyara ili tu kuongeza followers katika mitandao ya kijam…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKuanzia tarehe 10 Desemba, kampuni za mitandao ya kijamii zitakuwa na wajibu wa kuchukua "hatua zinazofaa" kuhakikisha kwamba watoto wenye umri chini ya miaka 16 nchini Australia hawawezi kuanzisha akaunti kwenye majukwaa yao na kwamba akaunti ziliz…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMvulana afariki baada ya kuvuta Lynx deodorant kwenye ‘TikTok challenge’ Mvulana wa miaka 12 kutoka Greater Manchester alikufa baada ya kujaribu mtindo hatari wa mtandao wa kijamii unaojulikana kama "chroming," uchunguzi umesema. Mazoezi hayo, amba…
MAKALA ZA HIVI PUNDEAtolewa Mbavu ili kuwa na Kiuno Chembamba Zaidi Mitandao ya kijamii imetikiswa siku kadhaa nyuma baada ya mwanadada Emily James, msanii wa mitandaoni (influencer) kutoka Marekani, kufichua kuwa amefanyiwa upasuaji wa kipekee kwa kuondolewa mbavu sita (tatu ki…
MAKALA ZA HIVI PUNDENEWS : Kwenye Jukwaa la Teknolojia leo hii tuna habari kuhusu kampuni ya Tiktok. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok. Kauli hiyo inakuja wakati ambapo kampuni ya ByteDance ya China inakabiliwa na shinikizo la kuiuza T…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin