Msichana apata bahati ya Mama Ida Odinga kumtunza

Msichana apata bahati ya Mama Ida Odinga kumtunza

#1

Msichana apata bahati ya Mama Ida Odinga kumtunza

Msichana huyo mrembo sana alisafiri hadi Opoda Farm kuomboleza msiba wa shujaa wake(Raila Odinga),kukutana na mwanamke ambaye jina lake ni Min Piny, Mama Ida Odinga na kutoa rambirambi zake.

Min Piny amemchukua msichana huyo mdogo kama wake na sasa Ida mdogo sasa ndiye mtoto wa mwisho wa Familia ya Odinga. Ataishi chini ya paa na utunzaji wa Min Piny hadi atakapokufa," aliongeza.

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code