Familia ya Jenista Mhagama ikiweka udongo kwenye Kaburi la Mpendwa wao
Familia ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, Jenista Mhagama ikiweka udongo kwenye kaburi la mpendwa wao ambaye amezikwa leo Desemba 16, 2025 katika makaburi yaCenter B yaliyopo kwenye kijiji cha Ruanda wilayani Mbinga, Ruvuma.











image quote pre code