VISABABISHI PAMOJA NA DALILI ZA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE(MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI)

VISABABISHI PAMOJA NA DALILI ZA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE(MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI)

#1

HORMONE IMBALANCE

• • • • • •

Hili tatizo la kukosa siku kwa miezi mpaka miaka limekuwa ni tatizo la wanawake wengi.


SABABU ZINAWEZA KUWA NI  NYINGI KAMA:


√ Life style haswa diet wise yaani vyakula tunavyokula.


√ Kuongezeka uzito kupita kiasi

Wanawake wengi tumebeba vitambi tunanenepa sana hii Ina affect sana hormones.


√ Effect za baadhi ya njia za uzazi wa mpango


√ Infection haswa fungal na bacteria


√ Msongo wa mawazo


√ kuwa na uvimbe kwenye kizazi 


√ Kukaribia kikomo Cha hedhi


√ Goita


MAMBO HAYA YAKIREKEBISHIKA TATIZO HUISHA KABISA

.


DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE (KIWANGO KIDOGO CHA HORMONE YA ESTROGEN)


✓ Kupungua hamu ya tendo la ndoa


✓ Kuto shika mimba


✓ Kutokwa mabonge mabonge wakati wa hedhi na rangi ya damu kuwa nyeusi


✓ Mzunguko kubadilika badilika


✓ Kutopata usingizi vizuri (insomnia) 


✓ Kuongezeka uzito


✓ Kupata choo kwa shida


✓ Mapigo ya moyo kutokuwa sawa


✓ Maumivu ya kichwa


✓ Mafua ya Mara kwa Mara pamoja na alleges 


✓ Kupoteza kumbukumbu


✓ Uchovu wa Mara kwa Mara 


✓ Kupoteza nywele au nywele kuwa nyepesi


✓ Kujiskia joto ghafla hasa usiku (hot flashes)


✓ Kuwa na mawazo mengi na wasi wasi


✓ Maumivu wakati wa tendo la ndoa 


✓ Ngozi kavu


✓ Maumivu ya mifupa na viungo


✓ Kutokewa na chunusi usoni za mara kwa mara na kuharibu ngozi

E.t.c.




Related Discussions

REPLY HAPA


image quote pre code