Afyaclass Bongo Social Aliekua Kocha wa Mamelodi afariki Dunia

Aliekua Kocha wa Mamelodi afariki Dunia

Aliekua kocha wa Mamelodi Sundowns na mchezaji wa zamani wa Fc Barcelona na timu ya Netherlands Johan Neeskens amefariki dunia siku ya tarehe 6-10-2024.

Johan Neeskens amefariki ghafla mara baada ya kutoka Algeria,Johan Neeskens alikua Algeria akihudumu kama mtoa elimu ya ukocha kwenye program ya KNVB Coach programs,akiwa kwenye shughuli zake za ukocha alianza kujiskia vibaya na kuumwa ghafla.

Madaktari wa dharura walifika haraka sana lakini huduma ya kwanza haikuweza kuokoa maisha ya Johan Neeskens,Johan ameacha mke anefahamika kama Marlis na watoto wake.

Johan Neeskens ameshinda makombe(mataji) 49 akiwa na timu ya taifa ya Netherlands,Johan Neeskens amefariki akiwa na umri wa miaka 73.

You, Mehreen and others
Hashtag:

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD