Nafasi Kazi 10,026 Mpya – Fursa kwa Walimu, Wauguzi na Kada nyingine

Nafasi Kazi 10,026 Mpya – Fursa kwa Walimu, Wauguzi na Kada nyingine

#1

Tangazo hilo ni rasmi la ajira serikalini lililotolewa na Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (TAMISEMI/PO-PSMGG) tarehe 18 Oktoba 2025 lenye Kumb. Na. JA.9/259/01/C/6.

Lengo lake ni kutangaza nafasi 10,026 za kazi kwa MDAs & LGAs (yaani Wizara, Idara, Wakala na Mamlaka za Serikali za Mitaa). Soma zaidi

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MDAs NA LGAs 

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code