Head

✍️Author: Dr. Ombeni
🛡️Review: AfyaClass

 SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA.

✓ Dalili za mimba

✓ Magonjwa kama Malaria,UTI

✓Matumizi ya baadhi ya Dawa

✓Matumizi ya baadhi ya vyakula

✓ Allergy inayotokana na vyakula flani kama nyama n.k
✓ Matumiz ya baadhi ya Njia za Uzazi wa Mpango n.k

✓ Mabadiliko ya Gafla ya vichocheo vya mwili

✓ Harufu ya Baadhi ya Vitu kama pafume n.k

JE USHAWAHI KUPATWA NA HALI HII? COMMENT NDYO AU HAPANA KWENYE COMMENT HAPO 👇

KUMBUKA: KWA USHAURI,ELIMU AU MSAADA WA KIAFYA NAMBA NI 0758286584 ,TUMA MESEGI UTAJIBIWA KWA HARAKA ZAIDI.

Karibu Sana..!!!




#Reply

#5Replies
🔥 CHAT NASI
Dr. Ombeni Dr. Ombeni
Je, una changamoto yoyote ya Kiafya? Kwa Ushauri & Tiba tuwasiliane. Call (Kawaida) au SMS (WhatsApp): +255 758 286 584