SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA

SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA

#1

 SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA.

✓ Dalili za mimba

✓ Magonjwa kama Malaria,UTI

✓Matumizi ya baadhi ya Dawa

✓Matumizi ya baadhi ya vyakula

✓ Allergy inayotokana na vyakula flani kama nyama n.k
✓ Matumiz ya baadhi ya Njia za Uzazi wa Mpango n.k

✓ Mabadiliko ya Gafla ya vichocheo vya mwili

✓ Harufu ya Baadhi ya Vitu kama pafume n.k

JE USHAWAHI KUPATWA NA HALI HII? COMMENT NDYO AU HAPANA KWENYE COMMENT HAPO 👇

KUMBUKA: KWA USHAURI,ELIMU AU MSAADA WA KIAFYA NAMBA NI 0758286584 ,TUMA MESEGI UTAJIBIWA KWA HARAKA ZAIDI.

Karibu Sana..!!!




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code