KANSA YA INI
.........
KANSA YA INI,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE
Katika mwili wa Binadamu kuna aina nyingi za Kansa Ikiwemo hii ya ini ambayo tunaizungumzia hivi Leo. Kansa hizo ni pamoja na;
- Kansa ya Damu
- Kansa ya Ngozi
- Kansa ya Mapafu
- Kansa ya Koo
- Kansa ya utumbo
- Kansa ya shingo ya Kizazi
- Kansa ya matiti
- Kansa ya kizazi
- Kansa ya Ini
- Kansa ya Ubongo
- N.K
- Mgonjwa kuanza kutoa Damu puani
- Mgonjwa kujisaidia kinyesi chenye rangi nyeusi
- Mgonjwa kukojoa Mkojo wenye rangi nyeusi
- Mgonjwa kuanza kupata maumivu ya viungo mbali mbali ikiwemo na mabega
- Mgonjwa kushindwa kushiriki vizuri tendo la Ndoa
- Mgonjwa kuanza taratibu kupoteza kumbukumbu zake
- Mgonjwa kuingiwa na hali ya kukosa usingizi mara kwa mara
- Mapigo ya moyo ya mgonjwa kwenda mbio
- Kupatwa na hali ya kubadilika rangi kwenye macho pamoja na Ngozi ya mwili kuwa MANJANO kitaalam hujulikana kama JAUNDICE
- Kupatwa na maumivu makali ya Tumbo juu kidogo ya kitovu
- Mgonjwa kukosa hamu ya kula kabsa
- Mwili kuchoka kupita kiasi pamoja na kuhisi kichefuchefu










image quote pre code