KANSA YA DAMU
••••••••••••
KANSA YA DAMU,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE
Katika mwili wa Binadamu kuna aina nyingi za Kansa Ikiwemo hii ya Damu ambayo tunaizungumzia hivi Leo. Kansa hizo ni pamoja na;
- Kansa ya Damu
- Kansa ya Ngozi
- Kansa ya Mapafu
- Kansa ya Koo
- Kansa ya utumbo
- Kansa ya shingo ya Kizazi
- Kansa ya matiti
- Kansa ya kizazi
- Kansa ya Ini
- Kansa ya Ubongo
- N.K
- Kuanza kubadilika rangi ya Ngozi na kuwa Nyekundu sana
- Kupatwa na maumivu mbalimbali yakiwemo ya Mifupa pamoja,joint pamoja na Viungo mbalimbali vya Mwili
- Mgonjwa kutokwa na jasho sana wakati wa Usku
- Kupatwa na matatizo ya tumbo mara kwa mara pamoja na kushambuliwa na magonjwa mengine kwa urahisi zaidi
- Mwili kuchoka kupita kiasi
- Kupatwa na homa za mara kwa mara










image quote pre code