MWANAMKE KUPATA HEDHI MARA MBILI NDANI YA MWEZI MMOJA SIO KAWAIDA

MWANAMKE KUPATA HEDHI MARA MBILI NDANI YA MWEZI MMOJA SIO KAWAIDA

#1

 HEDHI

• • • • •

MWANAMKE KUPATA HEDHI MARA MBILI NDANI YA MWEZI MMOJA SIO KAWAIDA



Hali ya mwanamke kupata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja huweza kuwa kiashiria cha tatizo flani kwenye mwili wake, na tatizo hilo huweza kuwa;


- Tatizo la Mvurugiko wa vichocheo mwilini yaani kwa kitaalam tunaita Hormone Imbalance 


- Au Dalili za magonjwa mengine kama UVIMBE kwenye kizazi, uvimbe kwenye Vifuko vya mayai,Saratani N.k


Ukiona tatizo hili kutana na wataalam wa afya kwa Ajili ya vipimo pamoja na Tiba


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code