HEDHI
• • • • •
MWANAMKE KUPATA HEDHI MARA MBILI NDANI YA MWEZI MMOJA SIO KAWAIDA
Hali ya mwanamke kupata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja huweza kuwa kiashiria cha tatizo flani kwenye mwili wake, na tatizo hilo huweza kuwa;
- Tatizo la Mvurugiko wa vichocheo mwilini yaani kwa kitaalam tunaita Hormone Imbalance
- Au Dalili za magonjwa mengine kama UVIMBE kwenye kizazi, uvimbe kwenye Vifuko vya mayai,Saratani N.k
Ukiona tatizo hili kutana na wataalam wa afya kwa Ajili ya vipimo pamoja na Tiba
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
Reply
image quote pre code