VIPIMO
• • • • •
UMUHIMU WA KUFANYA VIPIMO JUU YA MAGONJWA MBALI MBALI
Kwa hivi sasa kuna magonjwa mengi, na ambayo huwa na dalili sawa au zinazoingiliana,
Hivo swala la kufanya vipimo kabla ya kuanza tiba ni muhimu sana,
Kumbuka; sio kila homa ni Malaria
fanya vipimo kwanza kujua tatizo linalokusumbua kutokana na dalili unazozipata kabla ya matumizi ya dawa,
epuka matumizi ya dawa hovio pasipo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya
•
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE kWA NAMBA +255758286584.
Reply
image quote pre code