Afyaclass Bongo Social MAJI NI MUHIMU SANA KWA MAMA MJAMZITO

 MJAMZITO

• • • • • •

MAJI NI MUHIMU SANA KWA MAMA MJAMZITO


Maji ni muhimu kwa mjamzito , na mahitaji ya maji huongezeka pia unapokua mjamzito . Kwahiyo kunywa maji ya kutosha kadiri unavyojisikia kiu au uhitaji

.

.

Pia vinywaji vingine salama na vizuri kwa mjamzito ni kama vile juice ya limao , maziwa, juice ya matunda , juice ya mbogamboga (mfano juice ya karoti 🥕)

.

Juice ya limao itakusaidia kupunguza pia hali ya kujisikia kichefuchefu na kutapika,  ijaribu uone 🤝

.

.

 Epuka kunywa pombe , energy drinks , juice mimea tiba asili ( Labda kama upo katika uangalizi au daktari wako anafahamu - Ni rahisi sana ujauzito wako kupata madhara , endapo hamna uthibitisho wowote wa viwango unavyotumia )


#afyasolution




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD