TANZIA: Mtanzania alietekwa nchini Israel Afariki dunia

#1

TANZIA: Mtanzania alietekwa nchini Israel Afariki dunia

Mmoja kati ya wanafunzi wawili wa Tanzania waliotekwa na wapiganaji wa Hamas wakati wa uvamizi wao Israel amefariki.

Mmoja kati ya wanafunzi wawili wa Tanzania waliotekwa na wapiganaji wa Hamas wakati wa uvamizi wao Israel amefariki. Kulingana na taarifa kutoka kwa serikali ya Tanzania iliotumwa katika vyombo vya habari bwana Clemence Felix Mtenga , alikua hajulikani alipo tangu uvamizi wa wapiganaji wa Hamas nchini Israel mnamo tarehe saba mwezi Oktoba 2023.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code