Uzinduzi wa Taasisi ya Profesa Jay na Kampeni ya Kuchangia Wagonjwa wa Figo

Uzinduzi wa Taasisi ya Profesa Jay na Kampeni Mahususi ya Kuchangia Wagonjwa wa Figo.

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel Jana Desemba 10, 2023 amemuwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa katika hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Profesa Jay na Kampeni Mahususi ya Kuchangia Wagonjwa wa Figo nchini inayofanyika Jijini Dar Es Salaam

#Matukio kwa Picha;

Afyaclass online🟢

Author & Editor

Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.

0 Comments:

Post a Comment