Njia rahisi za kukusaidia Kuzuia Shinikizo la Juu la Damu

Njia rahisi za kukusaidia Kuzuia Shinikizo la Juu la Damu

#1

Njia za kukusaidia Kuzuia Shinikizo la Juu la Damu

Unaweza Kuzuia Shinikizo la Juu la Damu kwa kuzingatia yafuatayo;

• Punguza Matumizi ya chumvi nyingi kwenye chakula

• Punguza Sukari, Ongeza matunda na mbogamboga kwenye Mlo

• Jiepushe na Matumizi ya Tumbaku

• Punguza matumizi ya Pombe au kuacha kabsa

• Epuka matumizi ya mafuta kwa wingi au vyakula vyenye mafuta mengi

• Fanya Mazoezi mara kwa mara.. n.k

Photo Credits:Info| ElimuyaAfya

#SOMA pia;

• Jinsi ya kudhibiti Presha yako

Jinsi ya kupima Presha kwa Usahihi

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code