Jinsi Ya Kuondoa Uchovu Mwilini

Jinsi Ya Kuondoa Uchovu Mwilini

#1

 JINSI YA KUONDOA UCHOVU MWILINI

Hizi hapa ni baadhi ya Tips za kukusaidia kuondoa uchovu mwilini

- Hakikisha unakunywa maji ya kutosha angalau lita 2.5 mpaka 3 kwa siku,

uchovu wa mwili ni mojawapo ya dalili za upungufu wa maji mwilini

- Unaweza pia kula ndizi asubuh husaidia kuondoa uchovu hasa ukitumia na maji

- Kula chakupa chepesi ila kinachoupa mwili wako nguvu

- Pata muda wa kutosha wa kupumzika,unashauriwa kulala angalau masaa 6-8 kiafya, ili kumpumzisha mwili wako,

pia pumzika sehemu safi na yenye utulivu wa hali ya juu

- Unashauriwa kusikiliza nyimbo au mziki laini unaoupenda, mziki ni sehemu muhimu sana kwenye mwili wa binadamu

- Fanya mazoezi mbali mbali ya mwili

- Kaa sehemu ambapo kuna hewa safi,yakutosha pamoja na mzunguko mzuri wa hewa

- Fanya michezo mbali mbali ambayo unaipenda

- Epuka kuendelea kufanya kazi sana,fanya vitu vyepesi vyepesi kwa muda. n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code