Vatican yatangaza Tarehe Rasmi ya kuanza mchakato wa kumpata Papa mpya

Vatican yatangaza Tarehe Rasmi ya kuanza mchakato wa kumpata Papa mpya

#1

Vatican yatangaza Tarehe Rasmi ya kuanza mchakato wa kumpata Papa mpya



Ofisi ya Habari ya Vatican imetangaza kuwa kikao cha #Conclave cha kumchagua Papa mpya kitaanza rasmi tarehe 7 Mei.

Maamuzi haya yalifikiwa na Makardinali walioko Roma siku ya Jumatatu, wakati wa mkutano wao wa tano wa Maandalizi (#GeneralCongregation).

Conclave hiyo itafanyika ndani ya Kanisa la Sistine lililopo Vatican, ambalo litafungwa katika kipindi hicho maalum.

Wakati huu, dunia nzima inaelekeza macho Vatican, ikisubiri kwa hamu jina la kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki!

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code