Afyaclass Vatican yatangaza Tarehe Rasmi ya kuanza mchakato wa kumpata Papa mpya

Vatican yatangaza Tarehe Rasmi ya kuanza mchakato wa kumpata Papa mpya



Ofisi ya Habari ya Vatican imetangaza kuwa kikao cha #Conclave cha kumchagua Papa mpya kitaanza rasmi tarehe 7 Mei.

Maamuzi haya yalifikiwa na Makardinali walioko Roma siku ya Jumatatu, wakati wa mkutano wao wa tano wa Maandalizi (#GeneralCongregation).

Conclave hiyo itafanyika ndani ya Kanisa la Sistine lililopo Vatican, ambalo litafungwa katika kipindi hicho maalum.

Wakati huu, dunia nzima inaelekeza macho Vatican, ikisubiri kwa hamu jina la kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki!

You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD