Afyaclass TAARIFA:Bunge la 12 kuhitimishwa Leo,Dodoma

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhitimisha Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.



Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, John Magufuli alizindua bunge hilo Novemba 13, 2020 jijini Dodoma kwa kuzingatia Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi alisema bungeni kuwa leo Rais Samia atahutubia bunge na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12.

You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD