TAARIFA:Bunge la 12 kuhitimishwa Leo,Dodoma

TAARIFA:Bunge la 12 kuhitimishwa Leo,Dodoma

#1

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhitimisha Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.



Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, John Magufuli alizindua bunge hilo Novemba 13, 2020 jijini Dodoma kwa kuzingatia Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi alisema bungeni kuwa leo Rais Samia atahutubia bunge na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12.

REPLY HAPA


image quote pre code