China yaandaa mashindano ya kwanza ya roboti kucheza mpira bila msaada wa binadamu

China yaandaa mashindano ya kwanza ya roboti kucheza mpira bila msaada wa binadamu

#1

China imeandaa mashindano ya kwanza kabisa ya mpira wa miguu kwa roboti waliokomaa kiakili (humanoid robots) bila msaada wowote wa binadamu,



yaliyofanyika weekend hii usiku jijini Beijing. Tukio hili limekuwa hatua muhimu katika juhudi za taifa hilo kuendeleza teknolojia ya akili bandia (AI) na roboti.

Timu nne za roboti zilishiriki kwenye mechi za 3 dhidi ya 3, zote zikiwa zinachezeshwa na akili bandia bila mtu yeyote kuingilia kati. Mashindano haya yalikuwa kama utangulizi wa World Humanoid Robot Games yanayotarajiwa kufanyika Beijing pia.

Katika fainali, timu ya THU Robotics kutoka Chuo Kikuu cha Tsinghua iliibuka mshindi kwa kuichapa timu ya Mountain Sea kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha China kwa mabao 5-3.....

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code