Mariam Nabatanzi Mwanamke kutoka Uganda Aliyepata Watoto 44

Mariam Nabatanzi Mwanamke kutoka Uganda Aliyepata Watoto 44

#1

Mariam, kutoka wilaya ya Mukono, Uganda, alijifungua watoto 44 kufikia umri wa miaka 36!



SABABU YA AJABU:

Madaktari waligundua ana hali ya kipekee ya vinasaba (genetic condition) inayosababisha kutoa mayai mengi kwa wakati mmoja (hyperovulation).

Alianza kuzaa akiwa na umri wa miaka 12.

Alichopata: Mapacha 6 mara 5, mapacha 4 mara 4, na mapacha 3 mara 3, pamoja na watoto wachache wa mmoja mmoja.

Aliomba kufanyiwa upasuaji wa uzazi kuzuia kupata watoto zaidi, lakini alichelewa kusaidiwa.

Related Discussions

REPLY HAPA


image quote pre code