Mariam Nabatanzi Mwanamke kutoka Uganda Aliyepata Watoto 44

Mariam Nabatanzi Mwanamke kutoka Uganda Aliyepata Watoto 44

#1

Mariam, kutoka wilaya ya Mukono, Uganda, alijifungua watoto 44 kufikia umri wa miaka 36!



SABABU YA AJABU:

Madaktari waligundua ana hali ya kipekee ya vinasaba (genetic condition) inayosababisha kutoa mayai mengi kwa wakati mmoja (hyperovulation).

Alianza kuzaa akiwa na umri wa miaka 12.

Alichopata: Mapacha 6 mara 5, mapacha 4 mara 4, na mapacha 3 mara 3, pamoja na watoto wachache wa mmoja mmoja.

Aliomba kufanyiwa upasuaji wa uzazi kuzuia kupata watoto zaidi, lakini alichelewa kusaidiwa.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code