Mariam, kutoka wilaya ya Mukono, Uganda, alijifungua watoto 44 kufikia umri wa miaka 36!
SABABU YA AJABU:
Madaktari waligundua ana hali ya kipekee ya vinasaba (genetic condition) inayosababisha kutoa mayai mengi kwa wakati mmoja (hyperovulation).
Alianza kuzaa akiwa na umri wa miaka 12.
Alichopata: Mapacha 6 mara 5, mapacha 4 mara 4, na mapacha 3 mara 3, pamoja na watoto wachache wa mmoja mmoja.
Aliomba kufanyiwa upasuaji wa uzazi kuzuia kupata watoto zaidi, lakini alichelewa kusaidiwa.
REPLY HAPA
image quote pre code