Soko la Mashine Tatu Iringa lateketea kwa Moto

Soko la Mashine Tatu Iringa lateketea kwa Moto

#1

Moto wateketeza Soko la Mashine Tatu Iringa, uchunguzi waendelea



Muonekano wa Soko la Mashine Tatu lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa likiwa linaungua usiku wa kuamkia leo Julai 12, 2025.

Soko la Mashine Tatu, Iringa limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 huku maduka na vibanda kadhaa vimeungua na chanzo cha moto bado kikichunguzwa.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code