Viwango vya kubadili fedha nchini Tanzania Julai 30, 2025

Viwango vya kubadili fedha nchini Tanzania Julai 30, 2025

#1

Viwango vya kubadili fedha nchini Tanzania Julai 30, 2025

Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki za CRDB na NMB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Julai 30, 2025.

Viwango hivi, vinavyotarajiwa kubadilika kutokana na mwenendo wa soko wa kila siku, husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi.Credits:Nukta



Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code