JohnCena atacheza pambano lake la mwisho la WWE tarehe 13 Desemba 2025

JohnCena atacheza pambano lake la mwisho la WWE tarehe 13 Desemba 2025

#1

JohnCena atacheza pambano lake la mwisho la WWE tarehe 13 Desemba 2025



WWE kwa kushirikiana na NBC wamepanga pambano la kustaafu kwake kupitia Saturday Night’s Main Event, ambalo litarushwa mubashara kupitia Peacock.

JohnCena atastaafu akiwa bingwa wa dunia mara 17, rekodi kubwa zaidi katika historia ya WWE.

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code