Afyaclass Muangalie Mungu apate kukuokoa na Kila hatari iliyopo Mbele yako

Muangalie Mungu apate kukuokoa na Kila hatari iliyopo Mbele yako

"Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine".Isaya 45:22

Neno "Niangalieni" hapa lina maana ya kumgeukia Mungu kwa imani na kumtegemea. Ni mwaliko wa kuacha kutegemea sanamu, mali, au nguvu za kibinadamu na badala yake kumgeukia Mungu wa kweli kwa Imani na Kumtegemea kwa kila Kitu.

You, Mehreen and others

Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD