Muangalie Mungu apate kukuokoa na Kila hatari iliyopo Mbele yako

Muangalie Mungu apate kukuokoa na Kila hatari iliyopo Mbele yako

#1

Muangalie Mungu apate kukuokoa na Kila hatari iliyopo Mbele yako

"Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine".Isaya 45:22

Neno "Niangalieni" hapa lina maana ya kumgeukia Mungu kwa imani na kumtegemea. Ni mwaliko wa kuacha kutegemea sanamu, mali, au nguvu za kibinadamu na badala yake kumgeukia Mungu wa kweli kwa Imani na Kumtegemea kwa kila Kitu.

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code