Muangalie Mungu apate kukuokoa na Kila hatari iliyopo Mbele yako
"Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine".Isaya 45:22
Neno "Niangalieni" hapa lina maana ya kumgeukia Mungu kwa imani na kumtegemea. Ni mwaliko wa kuacha kutegemea sanamu, mali, au nguvu za kibinadamu na badala yake kumgeukia Mungu wa kweli kwa Imani na Kumtegemea kwa kila Kitu.
image quote pre code