Orodha ya Wabunge Walioteuliwa kugombea Ubunge na Majimbo yao,Makonda,Baba Levo ndani
-Paul Makonda
Chama cha Mapinduzi kimemteua Paul Makonda kuwa Mgombea wa Ubunge kupitia CCM katika Jimbo la Arusha Mjini.
Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amos Makalla amesema hayo leo August 23,2025 wakati akitangaza maamuzi ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
Baba Levo:Kugombea Kigoma Mjini
Chama cha Mapinduzi kimemteua Clayton Revocatus Chipando (Baba Levo) kuwa Mgombea wa Ubunge kupitia CCM katika Jimbo la Kigoma Mjini.Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amos Makalla amesema hayo leo August 23,2025 wakati akitangaza maamuzi ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
image quote pre code