Afyaclass Bongo Social Klabu ya Simba SC imetambulisha rasmi jezi zao mpya zitakazotumika msimu mpya

Klabu ya Simba SC imetambulisha rasmi jezi zao mpya zitakazotumika msimu mpya wa 2025/26.



Wekundu wa Msimbazi Simba SC leo wamezindua rasmi jezi zao watakazotumia msimu wa 2025/2026 katika michezo ya Ligi Kuu.

Simba SC wamezindua jezi za aina tatu, nyekundu, nyeupe na bluu, ikiwa ni jezi zao za kwanza za mashindano kutengenezwa na mzabuni mpya Jayrutty kwa kushirikiana na Diadora.

You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD