Tatizo La Homoni Imbalance Kwa Wanaume

Tatizo La Homoni Imbalance Kwa Wanaume

#1

Tatizo La Homoni Imbalance Kwa Wanaume



Tatizo la homoni imbalance kwa wanaume hutokea pale ambapo viwango vya homoni za kiume (hasa testosterone) au homoni nyingine mwilini vinakuwa juu mno au chini mno kuliko kawaida.

Sababu zinazoweza kusababisha homoni imbalance kwa wanaume

Kupungua kwa testosterone (Low T) – hutokea kadri umri unavyoongezeka au kwa matatizo ya kiafya.

Matatizo ya tezi aina ya (pituitary gland)

Unene kupita kiasi (obesity).

Kisukari aina ya 2.

Matumizi ya dawa fulani (mf. steroids, chemotherapy).

Magonjwa ya ini, figo au tezi la thyroid.

Poor Diet: kula vyakula vyenye Sukari nyingi kwa kiwango kikubwa pamoja na vyakula vya kusindika au processed foods inaweza kusababisha ukinzani wa insulini na matatizo ya homoni.

Ukosefu wa Mazoezi: Mazoezi ya mara kwa mara ni muhimu ili kudumisha viwango vya homoni mwilini. 

Msongo wa mawazo wa Muda mrefu(Chronic Stress): Msongo wa mawazo wa muda mrefu husababisha viwango vya cortisol kuwa juu ambapo hali hii inaweza kushusha homoni nyingine. 

Dalili za homoni imbalance kwa wanaume

Kupungua kwa nguvu za kiume (low libido),

hamu ya tendo kupungua au kuisha kabsa

Uume kulegea na kuwa dhaifu au kushindwa kabisa kusimama.

Uchovu wa mara kwa mara na kukosa nguvu.

Kupungua kwa nguvu kwenye misuli na kuongezeka kwa mafuta tumboni.

Mabadiliko ya hisia: kuwa na huzuni, msongo, au hasira za haraka.

Kuongezeka au kupungua kwa nywele mwilini.

Kupungua kwa uwezo wa kumbukumbu na uwezo wa kuzingatia.

Matiti kuongezeka ukubwa (gynecomastia) kutokana na estrogen kuongezeka. n.k.

Je,Una tatizo hili na hujapata Tiba bado?

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU NA TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code