Breaking News:Kocha mpya wa yanga huyu hapa

Breaking News:Kocha mpya wa yanga huyu hapa

#1

Breaking News:Kocha mpya wa yanga huyu hapa

Yanga wamemuajiri kocha wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon,De Agosto na timu ya taifa ya Angola,Pedro Valdemar Soares Gonçalves (49).

Kama nilivyoripoti jana kwamba Pira Ureno linakuja Jangwani,now nathibitisha kwamba Pedro Valdemar Soares Gonçalves ni kocha mpya wa Yanga

Ikumbukwe kocha huyo aliifikisha Angola hatua ya robo fainali kwenye Afcon iliyopita.

Balaa jipya NBC


Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code