Lionel Messi ameshinda Kiatu cha Dhahabu cha ufungaji bora

Lionel Messi ameshinda Kiatu cha Dhahabu cha ufungaji bora

#1

Lionel Messi ameshinda Kiatu cha Dhahabu cha ufungaji bora

Lionel Messi ameshinda Kiatu cha Dhahabu cha ufungaji bora MLS baada ya kufunga mabao 29 katika mechi 28 pekee akiwa na Inter Miami.

Alipokea tuzo hiyo kabla ya mechi yao dhidi ya Nashville SC na akafunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1, na kufikisha mabao 891 katika maisha yake ya soka.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code