Head

Simba SC imefuzu hatua ya makundi michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kutoka sare ya 0-0 dhidi ya Nsingizini Hotspurs ya nchini Eswatin  katika mchezo wa marudiano.

Matokeo ya jumla ni Simba SC 3-0 Nsingizini Hotspurs.



#Reply

#5Replies