Tafuta Kibali kwa Mungu,atakupa kibali kwa Wanadamu

Tafuta Kibali kwa Mungu,atakupa kibali kwa Wanadamu

#1

Tafuta Kibali kwa Mungu,atakupa kibali kwa Wanadamu

Fahamu Ukipata Kibali kwa Mungu ndipo anakupa Kibali na Kwa Wanadamu. Ukikosa Kibali kwa Mungu unakosa na kibali kwa Wanadamu.

Daudi mtoto wa Yese alipata Kibali kwa Mungu,Mungu akampa kibali na kwa Mfalme Sauli.

"1 Samweli 16:22 Kisha Sauli akapeleka watu kwa Yese, akasema, Tafadhali, mwache Daudi asimame mbele yangu; maana ameona kibali machoni pangu".

Unaweza Kupata Kibali kwa Mungu kwa kutenda vyema(jinsi Mungu anavyotaka),Mungu anamuambia Kaini Kama Ukitenda Vyema hutapata Kibali? Maana yake;Kibali cha Mungu kinaweza kupatikana kwa njia ya Kutenda vyema au kutenda kwa jinsi Mungu anavyotaka......

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code