Afyaclass Bongo Social Treni ya SGR yapata ajali Eneo la Ruvu,Chanzo cha ajali

Treni ya SGR yapata ajali Eneo la Ruvu,Chanzo cha ajali?

Treni ya Mwendokasi (SGR) imepata ajali leo asubuhi katika eneo la Ruvu, mkoani Pwani, ikiwa inatoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma.

Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana, ingawa treni imehama kwenye reli kama inavyoonekana kwenye picha.

You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD